MwanzoJPY / GBP • Sarafu
add
JPY / GBP
Bei iliyotangulia
0.0052
Kwenye habari
Kuhusu Yen ya Japani
Yen ni pesa nchini Japani. Alama yake ya kimataifa ni ¥ lakini Japani penyewe huandikwa 円. Yen imekuwa pesa inayotumiwa sana duniani baada ya dolar na euro.
Pesa hii ilianzishwa mwaka 1871 na serikali ya Meiji ikifuata mifano ya pesa za Ulaya. Mwanzoni ililinganishwa na gramu 1.5 za dhahabu.
Thamani ya pesa ilishuka wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia na baada ya vita kiwango chake kwa dollar ya Marekani kiliweka kwa ¥360 kwa US$1. Mwaka 2008 ilikuwa ¥104 kwa US$1.
Tangu kuimarika kwa uchumi wa Japani Yen imekuwa pesa muhimu duniani.
Kuna noti za Yen 1,000, 2,000, 5,000 na 10,000. WikipediaKuhusu Pauni
Pauni ya Uingereza pia Pauni ya sterling ni sarafu rasmi ya Uingereza, pamoja na Eneo lake la Taji na baadhi ya Maeneo ya Nje ya Uingereza. Ni moja ya sarafu za zamani zaidi zinazotumika mfululizo na mara nyingi hujulikana kwa kifupi kama pauni. Wikipedia