MwanzoMXN / USD • Sarafu
add
MXN / USD
Bei iliyotangulia
0.051
Kwenye habari
Kuhusu Peso ya Meksiko
The Mexican peso is the official currency of Mexico. The peso was first introduced in 1863, replacing the old Spanish colonial real. The Mexican peso is subdivided into 100 centavos, represented by "¢". Mexican banknotes are issued by the Bank of Mexico in various denominations and feature vibrant colors and imagery representing Mexican culture and history. Modern peso and dollar currencies have a common origin in the 16th–19th century Spanish dollar, most continuing to use its sign, "$".
The current ISO 4217 code for the peso is MXN; the "N" refers to the "new peso". Prior to the 1993 revaluation, the code MXP was used. The Mexican peso is the 16th most traded currency in the world, the third most traded currency from the Americas, and the most traded currency from Latin America. As of 16 March 2025, the peso's exchange rate was $21.68 per euro, $19.92 per U.S. dollar, and $13.86 per Canadian dollar. WikipediaKuhusu Dola ya Marekani
Dola ya Marekani ni sarafu rasmi ya Marekani, iliyoanzishwa mwaka 1792 na kutolewa na Hifadhi ya Shirikisho. Ni sarafu kuu ya akiba duniani, inayotumika sana katika biashara ya kimataifa, bidhaa, na masoko ya fedha za kigeni. Mbali na Marekani, nchi kama Ecuador, El Salvador, na Zimbabwe pia hutumia dola ya Marekani kama sarafu yao rasmi.
Dola ya Marekani inapatikana kwa noti za dola 1, 2, 5, 10, 20, 50 na 100. Kuna pia sarafu ya dola 1.
Dola moja ina senti 100. Senti huitwa pia "penny" nchini Marekani. Kuna sarafu za nusu dolar, robo dolar na sarafu za senti 10, 5 na 1.
Hadi mwaka 1969 noti ya dolar ya Marekani ilikuwa na ahadi ya kwamba serikali ya Marekani itampatia kila mtu dhahabu kulingana na thamani ya dola hizi akipenda kuzibadilisha.
Usawa huu na thamani ya dhahabu ulifutwa. Leo hii dola ya Marekani ni pesa ya kuiamini serikali kama pesa zote. Maana yake watumiaji husadiki ya kwamba serikali haitachapisha dola kushinda uwezo wa uchumi na thamani ya bidhaa zilizopo nchini Tanzania.
Tangu mwisho wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia dola ya Marekani imekuwa pesa kuu duniani na sehemu kubwa ya biashara ya kimataifa hukadiriwa kwa dola hizo. Wikipedia