MwanzoNZD / USD • Sarafu
add
NZD / USD
Bei iliyotangulia
0.59
Kwenye habari
Kuhusu Dola ya Nyuzilandi
The New Zealand dollar is the official currency and legal tender of New Zealand, the Cook Islands, Niue, the Ross Dependency, Tokelau, and a British territory, the Pitcairn Islands. Within New Zealand, it is almost always abbreviated with the dollar sign. The abbreviations "$NZ" or "NZ$" are used when necessary to distinguish it from other dollar-denominated currencies.
The New Zealand dollar was introduced in 1967. It is subdivided into 100 cents. Altogether it has five coins and five banknotes with the smallest being the 10-cent coin; smaller denominations have been discontinued due to inflation and production costs.
In the context of currency trading, the New Zealand dollar is sometimes informally called the "Kiwi" or "Kiwi dollar", since the flightless bird, the kiwi, is depicted on its one-dollar coin. It is the tenth most traded currency in the world, representing 2.1% of global foreign exchange market daily turnover in 2019. WikipediaKuhusu Dola ya Marekani
Dola ya Marekani ni sarafu rasmi ya Marekani, iliyoanzishwa mwaka 1792 na kutolewa na Hifadhi ya Shirikisho. Ni sarafu kuu ya akiba duniani, inayotumika sana katika biashara ya kimataifa, bidhaa, na masoko ya fedha za kigeni. Mbali na Marekani, nchi kama Ecuador, El Salvador, na Zimbabwe pia hutumia dola ya Marekani kama sarafu yao rasmi.
Dola ya Marekani inapatikana kwa noti za dola 1, 2, 5, 10, 20, 50 na 100. Kuna pia sarafu ya dola 1.
Dola moja ina senti 100. Senti huitwa pia "penny" nchini Marekani. Kuna sarafu za nusu dolar, robo dolar na sarafu za senti 10, 5 na 1.
Hadi mwaka 1969 noti ya dolar ya Marekani ilikuwa na ahadi ya kwamba serikali ya Marekani itampatia kila mtu dhahabu kulingana na thamani ya dola hizi akipenda kuzibadilisha.
Usawa huu na thamani ya dhahabu ulifutwa. Leo hii dola ya Marekani ni pesa ya kuiamini serikali kama pesa zote. Maana yake watumiaji husadiki ya kwamba serikali haitachapisha dola kushinda uwezo wa uchumi na thamani ya bidhaa zilizopo nchini Tanzania.
Tangu mwisho wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia dola ya Marekani imekuwa pesa kuu duniani na sehemu kubwa ya biashara ya kimataifa hukadiriwa kwa dola hizo. Wikipedia